mdudu

mdudu

WARCH ONLINE NEW VIDEO

SIKILIZA NA DOWNLOAD NGOMA KALI MPYA

Ijumaa, 1 Julai 2016

DI JA awa gumzo nchini NIGERIA

Di’ja amekuwa gumzo nchini Nigeria baada ya kutangaza si tu kuwa alifunga ndoa, bali pia amepata mtoto wa kiume. Hakuna aliyekuwa anajua mambo hayo.
12568283_219055695112627_1152754158_n
Aliamua kutangaza habari hiyo njema kwa kuweka video ya animation kuelezea hatua zote kuanzia alipochumbiwa, kufunga ndoa na kisha kupata mtoto.
“So Thankful to the Almighty for an amazing journey. Thank you to my family and amazing friends for your ongoing support. Thank you to my Mavin family who are forever providing me with guidance and last but not least my amazing fans for their undying love, well wishes and badASS encouragement. I could not be DI’JA without you,” ameandika kwenye Instagram.
Mume wake anaitwa Rotimi.

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Online Project management