mdudu

mdudu

WARCH ONLINE NEW VIDEO

SIKILIZA NA DOWNLOAD NGOMA KALI MPYA

Ijumaa, 1 Julai 2016

Huddah Monroe amweka wazi mpenzi wake

Diva wa Kenya asiyeishiwa vituko, Huddah Monroe amemweka wazi mpenzi wake baada ya kuficha kwa muda mrefu.
13385701_1223522404338306_1107531931_n
Huddah aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na rapper Prezzo lakini hivi karibuni amekuwa akiyaficha mahusiano yake baada ya muda mwingi akionekana akiwa mwenyewe kwenye viwanja tofauti.
Akiongea na Kiss FM, Huddah alisema, “I have a boyfriend, he’s playing soccer.” Lakini alipinga kuwa mpenzi wake huyo siyo Vicent Wanyama kwa kuwa yeye ndiye mchezaji pekee wa Kenya anayecheza ligi kuu ya Uingereza tena timu kubwa.

0 maoni:

Chapisha Maoni

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Online Project management