mdudu

mdudu

WARCH ONLINE NEW VIDEO

SIKILIZA NA DOWNLOAD NGOMA KALI MPYA

Jumapili, 3 Julai 2016

LEARN HERE IN ORDER TO KNOW ABOUT MIXTAPE IN DEEPLY

MIXTAPE

For other uses, see Mixtape (disambiguation).

An early pirated 8 track mixtape from 1974

The compact audio cassette
A mixtape (also mix-tape or mix tape) is a home-made compilation of music (typically copyrighted songs taken from other sources) recorded in a specific order, traditionally onto an audio cassette, though CD or MP3 playlist formats are now more common.[1] The songs can be sequential, or by beatmatching the songs and creating overlaps and fades between the end of one song and the beginning of another the tape may become a seamless whole. Compilations may include a selection of favourite songs, or music linked by theme or mood, perhaps tailored to the tape's intended recipient.
Essayist Geoffrey O'Brien has called the personal mix tape "the most widely practiced American art form".[2]

                              History

The most common early mix tapes were bootleg 8 track tapes that were sold at flea markets and truck stops in the late 1960s through the early 1980s, with names like "Super 73", "Country Chart Toppers" or "Top Pops 1977".[citation needed] Homemade mix tapes became common in the 1980s. Although the compact audio cassette by Philips appeared at the 1963 Berlin Radio Show,[3] the sound quality of cassettes was not good enough to be seriously considered for music recording until further advances in tape formulations, including the advent of chrome and metal tape. Before the introduction of the audio cassette, the creation of a pop music compilation required specialized or cumbersome equipment, such as a reel-to-reel or 8 track recorder, that was often inaccessible to the casual music fan. As cassette tapes and recorders grew in popularity and portability, these technological hurdles were lowered to the point where the only resources required to create a mix were a handful of cassettes and a cassette recorder connected to a source of pre-recorded music, such as a radio or LP player. The 8-track tape cartridge was more popular for music recording during much of the 1960s, as the cassette was originally only mono and intended for vocal recordings only, such as in office dictation machines. But improvements in fidelity finally allowed the cassette to become a major player. The ready availability of the cassette and higher quality home recording decks to serve the casual home user allowed the cassette to become the dominant tape format, to the point that the 8 track tape nearly disappeared shortly after the turn of the 1980s. The growth of the mixtape was also encouraged by improved quality and increased popularity of audio cassette players in car entertainment systems, and by the introduction of the Sony Walkman in 1979.
A distinction should be drawn between a private mixtape, which is usually intended for a specific listener or private social event, and a public mixtape, or "party tape", usually consisting of a recording of a club performance by a DJ and intended to be sold to multiple individuals. In the 1970s, such DJs as Grandmaster Flash and the Furious Five, Afrika Bambaataa and the Soulsonic Force, Kool Herc and the Herculoids, and DJ Hollywood would often distribute recordings of their club performances via audio cassette, as well as customized recordings (often prepared at exorbitant prices) for individual tape purchasers. These recordings tended to be of higher technical ability than home-made mixtapes and incorporated techniques such as beatmatching and scratching. One 12 October 1974 article in Billboard Magazine reported, "Tapes were originally dubbed by jockeys to serve as standbys for times when they did not have disco turntables to hand. The tapes represent each jockey's concept of programming, placing, and sequencing of record sides. The music is heard without interruption. One- to three-hour programs bring anywhere from $30 to $75 per tape, mostly reel-to-reel, but increasingly on cartridge and cassette." Club proprietors, as well as DJs, would often prepare such tapes for sale.

The CD-R disc is currently the most common medium for homemade mixes
Throughout the 1980s, mixtapes were a highly visible element of youth culture. However, the increased availability of CD burners and MP3 players and the gradual disappearance of cassette players in cars and households have led to a decline in the popularity of the compact audio cassette as a medium for homemade mixes. The high point of traditional mixtape culture was arguably the publication of Nick Hornby's novel High Fidelity in 1995. Since then, mixtapes have largely been replaced by mix CDs and shared MP3 playlists, which are more durable, can hold more songs, and require minutes (rather than hours) to prepare, and MP3 players take only seconds compared to CD-Rs. While some mixtape enthusiasts bemoan the obsolescence of the cassette tape, others concede that the greater convenience offered by the mix CD has expanded the possibilities and accessibility of the medium, as indicated by the recent resurgence of mix-swapping clubs that trade mix CDs by regular mail. Some mix enthusiasts also appreciate the potential of the mix CD for extended, continuous mixes and creative album art. MP3 players have further enhanced track accessibility, though ones without a screen defeat that purpose.
Today, websites concerned with electronic music provide mixes in a digital format. These usually consist of recorded DJ sets of live, beat-matched mixes of songs, which are used by DJs seeking to demonstrate their mixing skills to an online audience. Some radio shows worldwide specialize in mix series, including The Breezeblock on BBC Radio 1, The Solid Steel Show (formerly on KISS-FM), and Eddy Temple-Morris/The Remix on Xfm.
Additionally, DJs such as Grandmaster Flash, DJ QBert, DJ Spooky, DJ Z-Trip or DJ Shadow, The Avalanches, and Rjd2 have gained fame for creating new songs by combining fragments of existing songs (which need not necessarily belong to the same genre). The resulting remix or mash-up can be seen as an evolution of the mixtape, in that it appropriates existing songs to give them new meanings through their juxtaposition, but does so in a quicker, more integrated style. This practice is heavily derived from the use of song loops as musical backdrops for an MC's rhymes in hip hop music, which is also related to turntablism.

                                Aesthetic

While the process of recording a mix onto an audio cassette from LPs or compact discs is technically straightforward, many music fans who create more than one mixtape are eventually compelled to confront some of the practical and aesthetic challenges involved in the mixtape format. From a practical standpoint, such issues as avoiding an excessive amount of blank tape at the end of one side (which requires careful planning of the length of each side of the mix) and reducing the audible click between songs (which requires mastery of the pause button on the cassette recorder) have been identified as part of the shared experience of mixtape aficionados. From an aesthetic point of view, many enthusiasts believe that because a tape player, unlike a CD player, lacks the ability to skip from song to song, the mixtape needs to be considered in its entirety. This requires the mixtape creator to consider the transitions between songs, the effects caused by juxtaposing a soft song with a loud song, and the overall "narrative arc" of the entire tape. One notable listing of such aesthetic "rules" can be found in a paragraph from Nick Hornby's High Fidelity:
Many enthusiasts also devote substantial attention to the packaging of a mix tape intended as a gift, sometimes going so far as to create cover art and customized liner notes. The cover of the original McSweeney's edition of 31 Songs, a 2003 essay collection by Nick Hornby, was intended to suggest the packaging of a homemade mixtape, with the Side A half (of a Maxell cassette J-card) as the front cover and the Side B half on the back cover. It also came with an actual CD featuring ten of the songs discussed in the text. Indeed, the look of mix tapes, featuring hand-written notes on the recording medium manufacturer's supplied labels, has become one of the aesthetic conventions of modern design, a distinct style that designers may attempt to copy or cite. Many have been so widely distributed that the CDDB has logged and can identify ID3 tags when a disc mix tape is inserted into a PC.
From an artistic point of view, many creators of mix tapes seem to regard them as a form of emotional self-expression, although whether a mix tape retains the same web of emotional associations when passed from its creator to the recipient is, at best, debatable. Some argue that in selecting, juxtaposing, or even editing originally unrelated tracks of pop music into a new work of art, the "author" of a mix tape moves from passive listener to archivist, editor, and finally active participant in the process of musical creation. (Some legitimacy for this viewpoint was provided by Cassette Stories, a 2003 exhibition at the Museum of Communication in Hamburg, Germany, which featured stories and submissions from eighty mix tape enthusiasts.) However, this perception of the mix tape as a work of art has been criticized as resulting in a sort of elitism, with creators becoming more concerned with finding arcane and surprising combinations of tracks than with creating a tape that is listenable, enjoyable, or appropriate to its intended recipient. (In High Fidelity, for example, the narrator's girlfriend complains that his mix tapes are too didactic.) On a very basic level, the creation of a mix tape can be seen as an expression of the individual compiler's taste in music, often put forward for the implicit approval of the tape's recipient, and in many cases as a tentative step towards building the compiler's personal canon of pop music.

                                         Types

Although a "comprehensive" list of the different genres or categories of mixtapes could be extended indefinitely, creating a taxonomy of mix tapes is a project that many mixtape enthusiasts have intuitively attempted.[citation needed] The different types of mixtapes identified on community sites, such as FoundTrack (www.FoundTrack.com) and Art of the Mix (www.artofthemix.org; which lists over two hundred genres), indicate the variety of potential categories. Beyond basic genres, such as the simple taping of an entire album, the collection of favourite songs, and the "snapshot" mix of recent favourites, some of the more commonly cited categories include the driving mix, the workout mix, the party mix, the krazy mix (eclectic selections of obscure, rare or otherwise unconventional tracks), the didactic mix (intended to educate the recipient as to the essential works of a particular artist or genre), the concept / theme mix (e.g., a mix of Christmas songs, songs about cars, covers of songs by a particular artist or similar), and the mood mix (i.e., a mix of songs intended to sustain a specific mood, stated or unstated—notable subgenres include the romantic mix and the break-up mix). Mixtapes eventually made their way onto television screens by video mix DJs (e.g., Jordan Laws "Fit to Fill Video Mixtape" DJ SWB.[full citation needed])

                                      In hip hop

In hip hop's earliest days, the music only existed in live form, and the music was spread via tapes of parties and shows.[5] Hip hop mixtapes first appeared in the mid-1970s in New York City, featuring artists such as Kool Herc and Afrika Bambaataa.[5] As more tapes became available, they began to be collected and traded by fans. In the late 70's into the early 80's DJs began recording mixtapes out of their homes, referring to them as House Tapes. DJs such as Harold G. (who later became known as Whiz Kid) and DJ Super V would create personalized House Tapes which would eventually circulate throughout New York City. In the mid-1980s, DJs, such as Brucie B, began recording their live music and selling their own mixtapes, which was soon followed by other DJs such as Kid Capri and Doo Wop.[5] Ron G moved the mixtape forward in the early 1990s by blending R&B a cappellas with hip hop beats (known as "blends").[5] Blend tapes became increasingly popular by the mid-1990s[citation needed], and fans increasingly looked for exclusive tracks and freestyles on the tapes. Also since the 1990s, it describes releases used to promote one or more new artists, or as a pre-release by more established artists to promote upcoming "official" albums.[6] In the hip hop scene, mix tape is often displayed as a single term mixtape. It is now a word that could be used to describe full-length albums released for free, however, there are notable differences between hip hop albums and mixtapes. Because mixtapes and albums have no absolute conditions to divide them, they are instead judged by characteristics of the project, along with what the artist chooses to describe them as. For example, mixtapes can contain original beats with samples in them that have not been cleared, however there is generally no legal recourse because the mixtape is free and so no profit is being made from the work. Mixtapes can also take other artists beats and simply add new verses on top, generally labelled as a remix or a freestyle. Albums, on the other hand, only contain samples that have been cleared in order to avoid legal issues. Albums are also almost always sold, whereas mixtapes are usually free. There are exceptions however, such as the Free Weezy Album by Lil Wayne which, as the name suggests, was a free album. An exception in the other direction is If You're Reading This It's Too Late, a mixtape by Drake which was sold for money. The modern form of a mixtape that made a popular following by 50 Cent and his group G-Unit in the early 2000s,[7] sometimes containing all original music, other times composed of freestyles and remixes of popular tracks.LEARN  HERE  TO  KNOW   MANYTHING  ABOUT  MUSIC www.mduduthebest.blogsport.com

LEARN HERE ABOUT DJ MIX

DJ mix

"Mix (music)" redirects here. For a type of Organ stop, see Mixture (music).
A DJ mix or DJ mixset is a sequence of musical tracks typically mixed together to appear as one continuous track. DJ mixes are usually performed using a DJ mixer and multiple sounds sources, such as turntables, CD players, digital audio players or computer sound cards, sometimes with the addition of samplers and effects units, although it is possible to create one using sound editing software.
DJ mixing is significantly different from live sound mixing. Remix services were offered beginning in the late 1970s in order to provide music which was more easily beatmixed by DJs for the dancefloor. One of the earliest DJs to refine their mixing skills was DJ Kool Herc.[1] Francis Grasso was the first DJ to use headphones and a basic form of mixing at the New York nightclub Sanctuary.[2] Upon its release in 2000, Paul Oakenfold's Perfecto Presents: Another World became the biggest selling dj mix album in the US.[3]

Contents

Music


Frankie Knuckles also known as the 'Godfather of House.'[4]
A DJ mix is often put together with music from genres that fit into the more general term electronic dance music. Other genres mixed by DJ includes hip hop, breakbeat and disco. Four on the floor disco beats can be used to create seamless mixes so as to keep dancers locked to the dancefloor.[5] Two of main characteristics of music used in dj mixes is a dominant bassline and repetitive beats.[5] Music mixed by djs usually has a tempo which ranges from 120 bpm up to 160 bpm.[5]

"The Wizard," techno DJ Jeff Mills in the mix.
[6]]]

Technique


Pioneer DJM 350 mixer
A DJ mixset is usually performed live in front of an audience in a nightclub, party, or rave setting. Mixsets can also be performed live on radio or recorded in a studio. Methods of mixing vary slightly depending on the music genres being played.[1] House and trance DJs tend to aim for smooth blended mixes while hip-hop djs may use turntablism, scratching and other cutting techniques.[1] Some DJs, particularly those mixing Goa trance may prefer to mix during a break in which instead of beats, washes of synthesized sounds are combined.[5] Further refinement to the mixing quality can be provided with harmonic mixing which avoids dissonant tones during a mix.

Hip-hop master DJ Kool Herc at Hunts Point.
In live situations, the progression of the DJ set is a dynamic process. The DJ chooses tracks partly in response to the activity on the dance floor. If the dance floor becomes less active, the DJ will make a judgement as to what track will increase dance floor activity. This may involve shifting the tempo or changing the general mood of the set. Track choices are also due, in part, to where the DJ wishes to take his or her audience. In this way, the resulting mixset is brought about through a symbiotic relationship between audience and DJ.[7] Studio DJs have the luxury of spending more time on their mix, which often leads to productions that could never be realized in real-time.
Traditional DJ mixing with vinyl required the dj sync tracks tempo and the modify each tracks volume and equalisation to create a smooth blend. DJs can use a mixer's crossfader to switch between tracks or use the volume control for each source with the crossfader permanently positioned in the middle. Mixing is usually done through the use of headphones and a monitor speaker or foldback as basic aids. At this basic level the dj is required to develop a specific auditory skill where each track's tempo had to be distinguished while listening to more than one piece of music. The use of compact discs and players such as the CDJ by DJs brought technological advances for the DJ performing a mix including a readout of the bpm and a visual representation of the beat. Modern computer technology has allowed automatic beatmatching and led to debate regarding its use, which is sometimes described as cheating. DJ software such as VirtualDJ provides automatic beatmatching and key detection which simplifies harmonic mixing.

Distribution

DJs often distribute their recorded mixes on CD-Rs or as digital audio files via websites or podcasts for promotional purposes. Many popular DJs release their mixes commercially on a compact disc. When DJ sets are distributed directly via the Internet, they are generally presented as a single unbroken audio file; cue sheets may be provided by the DJ or fans to allow the set to be burned to a CD, or listened to, as a series of separate tracks in the way it would be produced as a commercial mix.  DJ MDUDU LEARNING HERE www.mduduthebest.blogsport.com

Download | Joslin Feat. Stopa Rhymecca - Wananisoma [Audio]

Download | Stosh Feat. Ayler - Gear [Audio]

Download | Yamoto Band Feat. Ruby - SU [Audio]

ALLY MASOUD MASWANYA AJIHUZURU

Mkuu wa Wilaya Mteule wa Mbozi, Ally Masoud Maswanya ajiuzulu

Kada aliyeteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ally Muswanya ameachia wadhifa huo hata kabla ya kuapishwa.

Wakati uteuzi wa makada watatu wa kwanza ulisahihishwa na Ikulu, Maswanya hajaibuka kwenye hafla ya kiapo na tayari mtu mwingine amekwenda kuziba nafasi yake.

Maswanya, ambaye alikuwa aapishwe juzi na mkuu wa Mkoa wa Songwe, Chiku Galawa, hakuapishwa na badala yake aliapishwa John Palingo ambaye katika uteuzi uliotangazwa na Ikulu alikuwa aongoze Wilaya ya Kongwa.

Taarifa za Maswanya kuachia nafasi hiyo zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii juzi usiku zikieleza kuwa amejiuzulu nafasi hiyo, lakini haikuelezwa sababu za kuchukua uamuzi huo wa kukataa kumwakilisha Rais wilayani.

Hata hivyo, Maswanya, ambaye ni meneja wa kampuni ya huduma za simu ya Tigo, Kanda ya Ziwa, hakutaka kuzungumzia kwa kina sakata hilo.

“Kama ambavyo inajulikana, mimi ni meneja wa Kanda wa Tigo,” alisema Maswanya alipozungumza na Mwandishi

“Hayo ndiyo yako kwenye mamlaka yangu kuzungumzia. Kama ni suala la Tigo, karibu tuzungumze yote kuhusu mipango na mikakati yetu.”

Maswanya alisema kwa sasa, nguvu akili na uwezo wake wote anaelekeza katika kutimiza wajibu kwenye nafasi hiyo yake Kanda ya Ziwa.

Hata baada ya kuulizwa kama ndiye aliyekataa uteuzi, Maswanya alisisitiza “Hayo yatazungumziwa na mamlaka husika ambazo naamini kwa nafasi yako unazijua.”

Alipoulizwa kama Maswanya alihudhuria hafla ya kula kiapo ya wakuu wa wilaya katikati ya wiki, kaimu mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa alisema hafahamu kama alikuwapo au la kwa kuwa wengi ni wakuu wapya hivyo haikuwa rahisi kwake kujua nani hakuwapo.

Sarakasi ya meneja huyo kutochukua madaraka aliyopewa na Rais inafanya idadi ya watu walioteuliwa na kushindwa kuanza kazi kutokana na sababu tofauti kufikia wanne.

Kabla ya wakuu wateule kula kiapo cha maadili Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Magufuli alieleza kuwa uteuzi wa wakuu hao ulifanywa kwa makini na kwamba anafahamu kwa majina watu wote aliowateua, akisema alizingatia umri, elimu na uzoefu.

Tukio la kwanza lilikuwa la uteuzi wa Fikiri Said kuwa mkuu wa Wilaya ya Ikungi, lakini akabadilishwa kwa maelezo kuwa jina lake liliwekwa kimakosa. Badala yake aliyekuwa katibu wa CCM wa Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu akateuliwa kuchukua nafasi hiyo.

Pia aliyeteuliwa kuongoza Wilaya ya Rombo, Fatma Toufiq alibadilishwa kwa maelezo kuwa tayari alishakuwa na wadhifa mwingine wa ubunge wa viti maalum na nafasi yake akapewa Agness Hokororo.

Rais John Magufuli alisema wakati akielezea suala hilo kuwa hakutaka mtu ashike nafasi mbili kwa wakati mmoja na kwamba hiyo ndiyo tafsiri ya falsafa ya “Hapa Kazi Tu”.

Tukio lililokuwa la aina yake katika uteuzi huo ni la kubatilisha uteuzi wa Emile Ntakamulenga aliyetangazwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Serengeti.

Hakukuwa na taarifa za awali za kubatilisha uteuzi huo na Ntakamulenga alienda Ikulu kama makada wengine, akaruhusiwa kujisajili na kuingia kwenye viwanja vya makazi hayo makuu ya nchi.

Lakini wakati akisubiri kula kiapo cha maadili, Jaji Salome Kaganda akatoa maelezo kuwa kulifanyika makosa katika kutangaza jina lake na kwamba aliyekusudiwa alikuwa Nurdin Babu ambaye naye alikuwa ameitwa Ikulu siku hiyo.

Kutokana na makosa hayo, Jaji Kaganda alisema: “Naomba utupishe” na ndipo Ntakamulenga akanyanyuka na kuanza kuondoka kutoka viunga vya Ikulu akiacha maswali.

Akizungumzia kutoapishwa kwa Maswanya kuwa mkuu wa Wilaya ya Mbozi na badala yake kumwapisha Palingo, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Chiku Galawa alisema alipokea ujumbe mfupi kwa njia ya simu kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi akijulishwa kwamba mtu aliyekuwa amepangiwa wilaya hiyo, John Ernest Palingo amebadilishwa kituo cha kazi, hivyo ataongoza Mbozi.

Galawa alisema alipokea maelekezo ya ujumbe huo kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi kwamba ampokee na kumuapisha ili aanze kazi mara moja, lakini akaongeza kuwa hana taarifa za mtu aliyeteuliwa awali kuwa bosi wa Mbozi.

“Nilichofanya ni kutekeleza maagizo ya mkuu wangu,” alisema Galawa.

“Pia mimi nilichokuwa nahitaji ni kukamilishiwa ma-DC wangu kwa wilaya zote, hivyo jana (juzi) asubuhi nilifanya mawasiliano na DC aliyeelekezwa na Katibu Mkuu Kiongozi, tukamtumia tiketi ya ndege na jana (juzi) mchana alifika na nikamuapisha kwa kuwa ni DC wa Mbozi pekee aliyekuwa amebaki.”

Alisema siku ya Alhamisi alimuapisha mkuu wa Wilaya ya Ileje, na kwamba wengine wa wilaya za Momba na Songwe hawakutumiwa tiketi mapema, lakini walifika na juzi asubuhi aliwaapisha wakati wakimsubiri Palingo.

Alisema kazi ya kwanza kuwapangia ni mbio za Mwenge wa Uhuru ambao uliingia jana asubuhi mkoani kwake ukitokea Mbeya. Alisema mwenge huo utawawezesha kufahamu vyema jiografia ya wilaya zao.

Mkoani Dodoma, Jordan Rugimbana aliwaapisha wakuu wapya sita kati ya saba wa wilaya za mkoa huo baada ya Rais Magufuli kufanya mabadiliko madogo.

Baada ya kuwaapisha wakuu hao wa wilaya, Rugimbana alielezea mabadiliko hayo ya Rais yaliyofanya akosekane mteule wa wilaya moja.

“Aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa sasa atakwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbozi baada ya aliyeteuliwa kujiuzulu,” alisema.

Alisema kutokana na mabadiliko hayo, Wilaya ya Kongwa inasubiri uteuzi mwingine utakaofanyika wakati wowote kuanzia sasa.

Wakuu wa wilaya walioapishwa Dodoma ni Elizabeth Kitundu (Bahi), Vumilia Nyamoga (Chamwino), Simon Odunga (Chemba), Christina Mdeme (Dodoma Mjini), Veneranda Makota (Kondoa) na Jabir Shekimweri (Mpwapwa).

OLE MILYA; NILITARAJIA KUTIMULIWA BUNGENI

Ole Milya: Nilitarajia kutimuliwa bungeni

Arusha. Mbunge wa Simanjiro (Chadema), James Ole Milya amesema hatua ya Naibu Spika, Dk Tulia Ackson kumsimamisha kuhudhuria vikao vya Bunge ni kutokana na chuki binafsi dhidi yake.

Amedai kuwa Dk Tulia alianza kumchukia toka alipopeleka hoja ya kutaka kumg’oa bungeni.

Pia, amedai pamoja na kusimamishwa, lakini Serikali haijajibu hoja yake ya msingi hadi sasa aliyotaka kujua hatima ya kufukuzwa kazi kwa zaidi ya wafanyakazi 200 wa Kampuni ya Mgodi ya Tanzanite One katika mazingira ya kutatanisha na kutaka mkataba wa kampuni hiyo uchunguzwe kwa kina.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na gazeti hili jana jijini Arusha, Ole Milya alisema alitegemea kuna siku Naibu Spika huyo angemtimua, hivyo alishajiandaa kisaikolojia.

Hata hivyo, alisisitiza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge haikumtendea haki baada ya kukataa kupokea ushahidi wake kuthibitisha uhusiano wa mmoja wa wabia wa kampuni hiyo na Waziri Jenister Mhagama.

Ole Milya ambaye amesimamishwa kuhudhuria vikao vitano vya Bunge kwa kuliambia uongo kuwa mmoja wa wabia wa kampuni ya Sky Associates inayomiliki na mgodi wa Tanzanite One unaodaiwa kunyanyasa wananchi ni shemeji ya Waziri Mhagama.

Lakini, Dk Tulia alisema Mhagama katika maelezo yake alieleza kwamba mtu huyo si shemeji yake na kuwasilisha malalamiko kwa kamati hiyo na baada ya kuchunguza, Ole Milya alishindwa kuthibitisha.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, George Mkuchika alipotakiwa kuzungumzia suala hilo alisema yeye ni hakimu na utaratibu haumruhusu kuzungumza chochote baada ya kutoa uamuzi ukatangazwe kwenye vyombo vya habari.

“Nikishatangaza uamuzi sipaswi kwenda kwenye magazeti, utaratibu hauko hivyo, siwezi kutangaza uamuzi halafu nikaenda kwenye magazeti kuzungumza tena,” alisema Mkuchika.

Akizungumzia kuhusu wafanyakazi hao, Ole Milya alisema kitendo cha kufukuzwa kazi kimesababisha waendelee kuhangaika mitaani kudai haki zao.

Alisema mamlaka zinapaswa kuchunguza mkataba wauendeshaji wa kampuni hiyo kwa kuwa pamoja na wazawa kupewa dhamana ya kuendesha, imeshindwa kuleta manufaa kwa wakazi wanaouzunguka mgodi huo. “Tanzanite One wachunguzwe wamepataje mkataba? watumishi 200 wamefukuzwa kinyemela, kampuni wamepewa wazawa lakini haiwasadii wakazi wa Simanjiro na Serikali iko kimya,” alisema.

WAKALA WA VIPIMO NCHINI KUPAMBANA NA WAFUNGA LUMBESA /LOMBESA

Wakala kupambana na wafunga lumbesa

WAKALA wa Vipimo nchini (WMA), umesema utashauri yafanyike mabadiliko ya sheria kwa ajili ya kudhibiti wafanyabishara watakaobainika kufunga mizigo kwa mtindo wa lumbesa ili waweze kufungwa jela na siyo kutozwa faini.
Hatua hiyo inatokana na kuwa faini wanazotozwa ni ndogo kiasi ambacho hawaoni athari ya ukiukwaji huo wa sheria na vipimo wanaofanya, hivyo kwa kupelekwa jela wataona uchungu na kuachana na ufungashaji huo.
Ofisa Habari wa wakala huo, Paulus Oluoch alisema kuwa sheria iliyopo ni ya zamani ambayo ni sheria ya vipimo sura namba 340 na mapitio yake ya mwaka 2002, imepitwa na wakati.
Alisema katika sheria hiyo inaainisha kuwa mtu akikutwa na kesi ya kufungasha mizigo kwa mtindo wa lumbesa kama ni kosa la mara ya kwanza anatakiwa kulipa faini ya Sh 10,000 au kifungo cha miaka mitatu au vyote kwa pamoja.
Pia sheria hiyo inaeleza kuwa iwapo atarudia kosa hilo kwa mara nyingine basi atatozwa faini ya Sh 20,000 au kifungo cha miaka saba jela au vyote kwa pamoja, hivyo kwa faini hizo hawasikii uchungu kwa kosa walilofanya.
Oluochi alisema kwa sasa wanaendelea na operesheni nchi nzima kuangalia ufungashaji huo wa lumbesa huku wakitoa elimu kwa wakulima kuhusu matumizi ya mizani ya kupimia mazao na kuwapa njia zitakazowasaidia kuepuka kuibiwa.
“Wafanyabiashara wanaonunua mazao wana njia tofauti ambazo wakulima wanaibiwa ikiwa ni pamoja na kuhesabu kilo wenyewe wakulima wakiwa wamekaa mbali na mizani, huku mizani mingine wakiwa wameichezea na kuiba kila mzigo baadhi ya kilo,”alisisitiza.

CHUO KIKUU DAR CHAZALISHA PEREGE DUME

Chuo Kikuu Dar chazalisha perege madume

TAASISI ya Sayansi za Bahari(IMS)ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, imefanya utafiti wa samaki na kufanikiwa kuzalisha samaki aina ya perege madume wa asili wasiozalishwa kwa kutumia teknolojia ya kubadilisha kinasaba(GMO), hivyo kuwa aina ya kwanza ya samaki hao duniani kuzalishwa Tanzania.
Akizungumza kwenye Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam, Mhadhiri Mwandamizi wa IMS, Dk Avit Mmochi alisema hayo ni mafanikio makubwa kwa taasisi hiyo.
Alisema tangu mwaka 1996 taasisi hiyo ilianza kufanya utafiti wa samaki wa baharini na ilipofika mwaka 2004 walifanikiwa kuzalisha aina mbalimbali za samaki wanaoweza kufugwa kwenye maji mchanyanyiko na wakakua bila matatizo.
Dk Mmochi alisema mwaka 2015, IMS ilianza kufanya utafiti wa kuzalisha samaki aina ya perege madume na kufanikiwa kuyazalisha bila kutumia teknolojia ya kinasaba, hivyo kuwa nchi ya kwanza duniani kuzalisha aina hiyo ya samaki wasiotumia dawa za kiteknolojia.
Alisema katika utafiti huo walitumia madume ya samaki waitwao Rufiji kutoka eneo la Rufiji ambao wanastahmili maji chumvi, wanawachanganya na majike ya samaki aina ya Sato kutoka Ziwa Victoria na wakafanikiwa kuzalisha madume matupu ya perege hao.
Alisema Ufilipino wapo samaki kama hao lakini tofauti na hawa wa Tanzani ni kwamba wao wa Ufilipino wamewazalisha kwa kutumia teknolojia ya GMO, ambayo inatumia dawa zinazoweza kuwa na madhara kwa watumiaji.

WAGOMBEA KITALU CHA UTALII WAPASHWA


Wanaogombea kitalu cha utalii wapashwa



MGOGORO wa kugombea kitalu cha utalii cha uwindaji wilayani Longido uliokuwa unafukuta chini kwa chini kati ya Kampuni ya Wengert Windrose Safaris (WWS) na Green Mille (GM), umechukua sura mpya baada ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Arusha kutembelea eneo hilo na kuamuru kuheshimiwa kwa mikataba.
Chini ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Daudi Ntibenda, kamati hiyo juzi ilikutana na wasimamizi wa kitalu hicho kutoka kila kampuni, Diwani wa Kata ya Kitumbeine kilipo kitalu hicho, baadhi ya viongozi wa vijiji vinavyozunguka na vilivyo ndani ya kitalu.
Iliamuru kuwa mikataba iliyopo kati ya wawekezaji na wanakijiji iheshimiwe kwa mujibu wa sheria. Kampuni ya WWS iliingia mkataba na vijiji 26 vinavyozunguka kitalu cha uwindaji cha Ziwa Natron Kaskazini Kusini utakaomalizika Agosti 15, mwaka huu.
Imeamriwa kuondoka katika eneo hilo na kuzua hali ya wasiwasi miongoni mwa wananchi. Hatua hiyo ya mkuu wa mkoa inatokana na maelezo aliyopewa na msimamizi wa kitalu hicho wa WWS, Alfred Mwakivike na Diwani wa Kata ya Kitumbeine, Timotheo Laizer kwamba kampuni hiyo iliingia mkataba wa miaka miwili kuanzia Agosti 15, 2014 na ambao utamalizika Agosti 15, 2016.
Mgogoro kati ya kampuni hizo unatokana na hatua ya Wizara ya Maliasili na Utalii kuamuru WWS waliokuwa wanaendesha shughuli za uwindaji wa kitalii katika kitalu hicho tangu mwaka 1990, waondoke hapo ifikapo Mei 31, mwaka huu.
Amri hiyo ya wizara ambayo imo katika barua ya Mei 9, mwaka huu iliyosainiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe, pamoja na mambo mengine inaitaka WWS kuondoka katika kitalu hicho na kuipisha Green Mille iendeshe shughuli za uwindaji wa kitalii.
Hatua hiyo ilipingwa na WWS na vijiji hivyo 26 wakidai kuwa wana mkataba utakaomalizika Agosti 15, hivyo kuitaka serikali kuingilia kati suala hilo lililoonekana kuwa na viashiria vya kuleta uvunjifu wa amani iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.
Mwakivike alimweleza mkuu huyo wa mkoa kwamba pamoja na WWS kuwa na mkataba na vijiji hivyo, tayari walishalipa ada ya kitalu hicho kwa msimu wa uwindaji wa 2016/2017, huku wakiwa wamekamilisha maandalizi ya kuanza kwa msimu wa uwindaji wa utalii ulioanza rasmi jana.
Tayari WWS wamepewa na Mahakama Kuu zuio la muda la utekelezaji wa maagizo hayo ya wizara hadi Julai 6, mwaka huu kesi yao ya msingi itakaposikilizwa na kutolewa uamuzi kuhusu barua hiyo ya Wizara ya Maliasili na Utalii.

Jumamosi, 2 Julai 2016

Download | Quick Rocka Feat. Chin Bees - Mwendo Kasi [Audio]

Download | Jasu Perfect - Moyo Mashine (Cover) [Audio]

Download | Pam D Feat. Nay Wa Mitego - Nipe Nono [Audio]

Download | Papa Wemba Feat. Diamond Platnumz - Chacun Pour Soi [Audio]

Download | M Rap Feat. Young Dee - Unamwongelea Nani [Audio]

Download | Cjamoker Feat. Zaiid & P The Mc - Kama Nanii [Audio]

Wales yatinga nusu fainali ya Euro 2016, ni vita kati Ronaldo na Bale



Hatimaye timu ya taifa ya Wales imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kuifunga Ubelgiji kwenye michuano ya Uero inayoendelea huko nchini Ufaransa.
35DF3C0700000578-3670048-image-m-106_1467411341405
Wales wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa jumla ya magoli 3-1 huku magoli yao yakifungwa na Williams kwenye dakika ya 30, Robson-Kanu dakika ya 55 na Vokes 85 huku goli la kufutia machozi la Ubelgiji likifungwa na Nainggolan kwenye dakika ya 13.
35DF35CB00000578-3670048-image-a-97_1467409182267
Hivyo basi timu hiyo ya Wales itakutana na timu ya taifa ya Ureno kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali huku fainali ya michuano hiyo ikitarajiwa kuchezwa Julai 10 mwaka huu.
35DD8C4400000578-3670048-image-a-23_1467401165959
Aidha michuano hiyo inaendelea leo kwa kuzikutanisha timu ya mabigwa wa dunia, Ujerumani itakayocheza na Italia

New Music: Wizkid f/ Chris Brown, Trey Songz & French Montana – Shabba



Msanii wa Nigeria, Wizkid ameachia wimbo wake mpya wa ‘Shabba’ aliowashirikisha Chris Brown, Trey Songz na French Montana.
wizkid-cb-ts-fm
Siku ya Ijumaa Chris Brown aliachia ngoma yake mpya yenye jina kama hilo ‘Shabba’ ndani ya wimbo huo akimshirikisha Wizkid na rapper wengine wachanga, Hoody Baby & Section Boyz.
Hata hivyo inadaiwa kuwa wimbo wa ‘shabba’ wa Wizkid ndiyo original japo umechelewa kutoka lakini Chris Brown ndiyo aliufanyia version wimbo huo kwa kumshirikisha Wizkid.
Nyota ya Wizkid imeonekana kuendelea kung’aa ndani ya Marekani kwa kufanya ngoma na mastaa wakubwa kadhaa huku wimbo wa ‘One Dance’ alioshirikishwa na Drake ukiendelea kufanya vizuri kwenye chati za Billboard na kumtambulisha vizuri msanii huyo wa Nigeria.

Manchester United yamalizana na Ibrahimovic

Hatimaye timu ya Manchester United imekamilisha rasmi usajili wa aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya Sweden, Zlatan Ibrahimovic.
13267349_246663199026538_1940231266_n
Mpaka sasa mchezaji huyo amefanikiwa kucheza jumla ya mechi 611 tangu ameanza kucheza soka na kufunga jumla ya magoli 371. Pia aliwahi kucheza kwenye timu kadhaa ikiwemo Ajax, Malmo, Juventus, Inter Milan, Barcelona AC Milan, PSG, timu ya taifa ya Sweden ya vijana na wakubwa.
Baada ya kusaini mkataba huo wa kuichezea United “Nina furaha kubwa kujiunga na Manchester United,” alisema Ibrahimovic. “Nasubiri kwa hamu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi ya England na kucheza kwa mara ya kwanza.”
Aliongeza “Sitakuwa muungwana kama sitabainisha furaha yangu ya kuungana kwa mara nyingine tena Jose Mourinho. Ni kocha mzuri na nipo tayari kupata changamoto mpya kutoka kwake. Mara nyingi nimekuwa nikifurahia maisha yangu ya soka mpaka sasa na nina kumbukumbu nzuri nyingi sana. Na sasa nakuja England kuweka kumbukumbu nyingine tena .”
Naye kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho alisema kuwa mchezaji huyo hahitaji utambulisho kwa kuwa takwimu zimeweka wazi uwezo wa Ibra kuwa ni mmoja kati ya washambuliaji bora kwa sasa ulimwenguni na amekuwa akijitolea kwenye timu yake kwa asilimia 100.
“Amefanikiwa kushinda ubingwa muhimu wa ligi katika ulimwengu wa soka, na sasa ana fursa nyingine ya kucheza katika ligi bora kabisa ulimwenguni na naamini atatumia fursa hii kufanya kila awezalo kuisaidia timu kushinda mataji. Naamini kwamba kipaji chake kitawapa furaha kubwa mashabiki wa United katika dimba la Old Trafford msimu ujao na uzoefu wake pia utakuwa na thamami kubwa katika kutoa mchango kwa wachezaji vijana katika timu,” alisema Mourinho.
Ibrahimovic ni mchezaji wa pili kusajiliwa na Jose Mourinho tangu alipotangazwa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo huku usajili wake wa kwanza ulikuwa kwa beki wa Villarreal, Eric Bailly.

Abdu Kiba adai wasanii wa WCB wanabebwa na Promo

Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB.
mariah-carey-nick-cannon-02-1
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.”
“Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae hazami,” alisema Abdu Kiba.
Aidha aliongeza kuwa bado hajaona msanii anayeimba type ya muziki wake ndani ya lebo hiyo [WCB].
Hata hivyo mapema mwezi huu msanii huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa yupo tayari kujiunga na lebo ya WCB kama watakubaliana na kuweka hela mezani kauli ambayo baadaye yeye mwenyewe aliipinga kuwa watu hawakumuelewa vizuri alichomaanisha.

Vodacom na Huawei wazindua smartphone kali, Kishkwambi yenye bei poa




Kampuni ya simu nchini, Vodacom Tanzania ikishirikiana na Huawei, wamezindua smartphone kali, Kishkwambi kwa lengo la kuhakikisha watanzania wanapata haki yao ya mawasiliano na kumiliki sio simu tu bali simu ya kisasa.
DSC_0130
Meneja wa Huawei nchini Tanzania Huxiangyang Jacko akitoa hotuba kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi simu mpya ya Huawei kishkwambi inayokuja na ofa kabambe kutoka Vodacom. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mauzo na usambazaji Vodacom Tanzania George Rwehumbiza na Mkurugenzi wa mauzo na Usambazaji wa Huawei Tanzania Bwana Sylvester Manyara

Huawei imeshirikiana na Vodacom Tanzania kuleta simu ya Huawei Kishkwambi iliyounganishwa na kifurushi cha Vodacom cha muda wa maongezi na internet.
Promosheni ya Huawei Kishkwambi inaenda sambamba na uzinduzi wa maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Saba Saba. Simu hii inanunuliwa kwa shilingi 100,000 tu, ikiwa na kifurushi cha bure cha internet cha GB6 na dakika 100 za bure za maongezi katika mtandao wa 3G wa Vodacom kwa mwaka mmoja. Simu hii pia huja na waranti ya miezi 12 kutoka Huawei.
Mkurugenzi Mkazi wa Huawei Huxiangyang Jacko anasema, “Huawei imedhamiria kufikia maeneo yote ya soko la Tanzania kupitia bidhaa zao nyingi ambazo pia zimethibitika kufanya vema katika masoko mengine ulimwenguni. Lakini kwa Tanzania, tunataka kuweka mkazo kwa watu wa kipato cha kati na cha chini, wanafunzi na wafanyakazi vijana ambao wanathamini ubora na pia wanajali bei. Kwa sababu hiyo, Huawei Kishkwambi inaonesha kuwa ndio simu bora tunayoweza kuwapatia wateja wetu ambayo yaweza kuwa ndio simu ya kwanza au pia kwa wale wanaotaka kuongeza simu ya pili.”.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Mkuu wa Kitengo cha Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania, George Rwehumbiza alisema ushirikiano wao na Huawei unaendana na nia ya Vodacom Tanzania ya kuwapatia wateja wao fursa ya kununua simu bora na za bei nafuu hususani baada ya zoezi la hivi karibuni la uzimaji simu feki lililotekelezwa na TCRA.
DSC_0152
Mkuu wa Kitengo cha Mauzo na usambazaji Vodacom Tanzania George Rwehumbiza akitoa hotuba kwenye mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi simu mpya ya Huawei kishkwambi inayokuja na ofa kabambe kutoka Vodacom
“Vodacom Tanzania imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa wateja wake wanaendelea kuunganishwa hata baada ya uzimaji mkubwa wa simu uliofanywa na TCRA, hivyo basi ushirikiano wetu na Huawei unaongeza msukumo wetu kuhakikisha kuwa wateja wetu wanabakia wakiwa wameunganishwa na katika hilo pia tunawapatia motisha ya vifurushi vya internet na muda wa maongezi lukuki” alisema afisa huyo wa Vodacom Tanzania.
Huawei Kishkwambi ni simu iliyowezeshwa kwa 3G na inazo sifa zote za simu za kisasa, na kwa vifurushi vya gharama nafuu vya muda wa maongezi na internet wateja wanaweza kuperuzi mtandaoni, Facebook na hata Instagram. Simu hii ina kioo cha LCD cha inchi 4. Ili kuleta mvuto wa kipekee, Huawei Kishkwambi ina mgongo wenye mkunjo kwa mbali na kona zake nne zilizopinda bila ncha kali. Muundo wake huu wa kipekee unawapa watumiaji wake hisia nzuri wanapoishika na ni rahisi kuitumia hata kwa mkono mmoja.
Ina megapikseli 0.3 katika kamera yake ya mbele na megapikseli 2 katika kamera ya nyuma. Huawei Kishkwambi ina prosesa 2 ambazo huipa uwezo wa kufanya kazi haraka sana katika kucheza michezo ya kwenye simu (game). Kadi yake ina ukubwa wa MB512 na ROM ya GB4 ambayo inaweza kuongezwa kwa kadi ya nje. Simu hii ina spidi ya hali ya juu na uwezo mkubwa wa kutunza chaji.
Ushirikiano huu wa kipekee wa miamba miwili ya kimataifa nchini Tanzania ni hatua ya kimkakati ya Huawei na Vodacom ya pamoja katika kuleta suluhisho kwa watumiaji wa simu. Kila simu ya kisasa inahitaji kuunganishwa na mtandao bora ili kuleta ubora halisi kwa mtumiaji wa simu. Hapa ndipo utendaji wa simu ya Huawei Kishkwambi unapoendana na mtandao wenye kasi wa Vodacom 3G kuleta nguvu Zaidi kwa watumiaji.
DSC_0006
Kutoka kushoto ni Meneja wa Huawei nchini Tanzania Huxiangyang Jacko akifuatiwa na Mkuu wa Kitengo cha Mauzo na usambazaji Vodacom Tanzania George Rwehumbiza, Mkurugenzi wa mauzo na Usambazaji wa Huawei Tanzania Sylvester Manyara na mwisho ni Edwin Byampanju meneja bidhaa kutoka Vodacom wakionyesha kipeperush cha simu mpya ya Huawei kishkwambi wakiwa mara baada ya mkutano na waandishi wa habari katika uzinduzi wa simu hiyo inayokuja na ofa kabambe kutoka Vodacom, uliofanyika katika ukumbi wa Western Coral Beach Hotel, jijini Dar es Salaam
Katika kufanikisha wazo la serikali kuwa haki ya kuwasiliana inapaswa kumfikia kila mtanzania, Vodacom imekuwa ikifanya jitihada pasipo kuchoka katika kuwaunganisha watanzania na kuongeza uwekezaji katika sekta ya mawasiliano ya simu. Ushirikiano na Huawei katika promosheni ya Huawei Kishkwambi ni moja ya namna nyingi ya ofa zinazotolewa kwa wateja. Promosheni hii maalum ya Huawei Kishkwambi inatolewa katika maduka yote ya Huawei na Vodacom nchini kote. Huawei na Vodacom kwa pamoja zinawahimiza watanzania kuitumia vilivyo fursa ya promosheni hii na kufurahia kuendelea kuunganishwa kimawasiliano.

Chris Brown aingia tena matatani huko Ibiza

Chris Brown ameendelea kucheza na mdomo wa sheria kwa kufanya uharibufu wa nyumba huko Ibiza.
chris-brown-ibiza
Staa huyo alikodi nyumba moja wiki iliyopita huko Villa, Ibiza alipokwenda mapumzikoni akiwa na watu wake. Mwenye nyumba hakuridhishwa na muonekano wa nyumba yake baada ya msanii huyo kumaliza muda wake wa kukaa kwenye nyumba hiyo.
Mwenye nyumba pia amedai kuwa amekuta ukuta wa nyumba yake umechafuliwa vibaya huku kukiwa kumefanyika uharibifu mkubwa ndani ya nyumba yake hiyo na hivyo ametaka kulipwa kiasi cha dola 60,000 kutokana na uharibifu huo uliofanywa na Chris Brown.
Wiki iliyopita Chris Brown alishtakiwa na aliyekuwa meneja wake, Mike G kwa madai ya kumpiga ngumi usoni na shingoni bila hata kumfanya kitu.

Sallam atoa sababu ya kuchelewa kutoka kwa video ya wimbo wa Diamond na P-Square

Diamond ana kesi kwa mashabiki wake. Ijumaa na Jumamosi hii wamekuwa wakisubiri kwa hamu video ya wimbo wake aliowashirikisha P-Square ambayo aliahidi ingetoka jana, lakini hadi sasa kimya!!
13391282_1720418924842544_639480599_n
Wengi wameonesha kukusa uvumilivu na wameanza kuelezea kusikitishwa kwao kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii.
Lakini tumeongea na uongozi wake kutaka kujua nini sababu za kuchelewa kutoka kwa video hiyo, na umesema kuwa kuna vitu vichache vimechelewesha na kwamba mashabiki wasiwe na shaka kwasababu kiu yao itakatwa.
“Kuna vitu vinachelewesha ila tupo katika final touches,” meneja wa Diamond, Sallam ameiambia Bongo5.
“Ukiwapa kitu kibaya watalalamika ni bora wafanye subira wapate kizuri zaidi,” ameongeza.
13394907_148279392249887_312846207_n
Video ya wimbo huo ilifanyika nchini Afrika Kusini na utakuwa wimbo wa kwanza P-Square wanasikika wakiwa pamoja tangu kundi lao kudaiwa kuvunjika.
Ijumaa hii Diamond alipost kwenye Instagram picha ya mwanae Tiffah mwenye umri wa miezi 11 sasa na kuandika: On the LONG conversation with my Miss World before Making a History.”
Ujumbe huo uliwapa matumaini mashabiki wake kuwa muda wa kuiona video hiyo umekaribia

Nitaendelea kuwa ‘single’ hadi nitakapofunga ndoa – Priyanka Chopra



Muigizaji wa India aliyetoboa Marekani kwa sasa, Priyanka Chopra amesema ataendelea kuwa single hadi pale atakapofunga ndoa.
priyanka_chopra_bollywood_actress-wide
“Nitaendelea kuwa single hadi nitakapoolewa,” aliliambia jarida la InStyle la Marekani. “Nimekuwa hivyo siku zote.”
634-priyanka-chopra-instyle-063016
“I’ve never dated. I’ve always been in relationships. It’s very different (in India). You like someone, you court each other, you get into a relationship. You’re answerable to each other. Whereas the non-answerability of dating (in Western countries), my god, I don’t know if I would ever be able to. I’ve never done it, so I don’t know,” alisema.
Muigizaji huyo ataonekana kwenye filamu ya Hollywood, Baywatch akiwa Zac Efron, Dwayne ‘The Rock’ Johnson na wengine. Filamu hiyo itaingia sokoni May 19, 2017.
Priyanka mwenye umri wa miaka 33 aliwahi kuwa Miss World mwaka 2000.

Ijumaa, 1 Julai 2016

Davido apost picha akiwa na Diamond studio na kuandika ujumbe uliotuacha njia panda!

Uhusiano kati ya Davido na Diamond Platnumz ulishavunjika siku nyingi kufuatia issue iliyotokea mwaka jana kwenye fainali za shindano la Big Brother Africa.
11057685_371329423067689_4700138123020625793_n
Davido na Diamond Platnumz akiwa studio mwishoni mwa mwaka juzi
Tukio hilo lilimfanya Davido aandike mfululizo wa tweets za mafumbo ambazo wengi waliamini kuwa ni madongo kwa Diamond aliyewahi kumshirikisha kwenye remix ya Number One iliyotokea kuwa hit namba moja Afrika miaka katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
Kambi ya Diamond ilisisitiza kuwa hakuna ugomvi kati ya mastaa hao wawili na hata staa huyo wa ‘Nasema Nawe’ hivi karibuni aliwahi kuupa shavu wimbo mpya Davido kwenye Instagram.
Lakini vipi kama kweli Davido na Diamond bado ni washkaji? Kwa kile alichokipost Davido kwenye ukurasa wake wa Facebook, huenda wawili hao wakawa wanaendelea kupanga kufanya makubwa baadaye.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Davido amepost picha ya zamani akiwa na Diamond kwenye studio yake nchini Nigeria. Kwenye picha hiyo, Davido ameandika: I think I just recorded a sweeter love song than AYE .. Hmm this album yo.”
Davido
Picha hiyo imevutia comments nyingi japo asilimia kubwa ni za wakenya wanaomnyeshea mvua ya matusi! Yes, Wakenya hawataki kumsikia tena Davido!
Hakuna shaka kuwa staa huyo wa Nigeria ana picha nyingi ambazo angeweka kuambatanisha na ujumbe huo. Hivyo, uchaguzi wa picha akiwa na Diamond unaweza ukawa na dhumuni maalum!

Huddah Monroe amweka wazi mpenzi wake

Diva wa Kenya asiyeishiwa vituko, Huddah Monroe amemweka wazi mpenzi wake baada ya kuficha kwa muda mrefu.
13385701_1223522404338306_1107531931_n
Huddah aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na rapper Prezzo lakini hivi karibuni amekuwa akiyaficha mahusiano yake baada ya muda mwingi akionekana akiwa mwenyewe kwenye viwanja tofauti.
Akiongea na Kiss FM, Huddah alisema, “I have a boyfriend, he’s playing soccer.” Lakini alipinga kuwa mpenzi wake huyo siyo Vicent Wanyama kwa kuwa yeye ndiye mchezaji pekee wa Kenya anayecheza ligi kuu ya Uingereza tena timu kubwa.

Ongezeko la asilimia 18 (VAT) ya makato ya miamala ya benki kuanza Ijumaa hii (July 1)

Ijumaa hii itakuwa tofauti kwa wateja wengi wa benki nchini. Ni kwasababu benki karibu zote kuanzia July 1, zitaanza kutumia sheria mpya ya fedha ya mwaka huu iliyopitishwa na bunge la 2016/17.
6d0d9cc2-bf19-49e7-b776-984e106bd1aa
Kupitia tangazo lake kwa wateja, benki ya CRDB imedai kuwa ongezeko la asilimia 18 zitatozwa katika gharama za huduma ya benki kuanzia Ijumaa hii, July 1.
“Ongezeko hili (VAT) litakatwa kutoka katika akaunti akaunti ya na kama muamala hautapita kwenye akaunti, mteja atalipia kwa fedha taslimu, Kulingana na sheria hii, hakutakuwa na makato ya kodi ya ongezeko la thamani (VAT) katika riba,” imesema taarifa hiyo.
Benki ya NMB nayo imetoa taarifa hiyo kwa wateja wake.
33c0cb6b-e2cb-4ecb-b825-fc75c8a1783a
Tafsiri ya ongezeko hilo kutoka kwa mfanyakazi wa benki moja niliyemuuliza ni kuwa kama benki ilikuwa ikikata shilingi 1,000 kwa muamala unaoanzia shilingi elfu 10, kwa sasa mteja atakatwa shilingi 1180 ambazo ni sawa na asimilia 18.

TID bado ni kaka yangu, nampenda, namheshimu – Billnass

Kuna vita vikali vya maneno kati ya TID na aliyekuwa kijana wake, Billnass.
13437329_638034583012192_71100538_n
Katika mahojiano mengi aliyofanya, Mnyama anaonekana kukerwa na kitendo cha rapper huyo wa Chafu Pozi kuondoka kinyemela Radar Entertainment – label iliyomtoa. Anaamini kuwa Bill ni mtu mwenye tamaa na hayupo real na kwamba alimtumia tu kupata jina na baada ya kufanikiwa kamtema kama ganda mua!
Hata hivyo Bill ambaye jina lake halisi ni William, haoneshi kutaka kumjibu TID, hataki makuu na ‘anaplay smart.’
“Kuna vitu vingi sana ila mimi sitaki kuzungumza sana, ninachoweza kusema ni kuwa nampenda TID na namheshimu,” rapper huyo alikiambia kipindi cha Super Mega cha Kings FM kinachoendeshwa na Divine Kweka.
Bill bado anasisitiza kuwa mkataba wake, hata kama ulikuwa wa maneno ulimalizika baada ya mwaka mmoja na alikuwa huru kwenda popote. Anasema hawezi kuongea na TID moja kwa moja lakini ameshaongeza na watu anaowaheshimu ili waongee na bosi wake huyo wa zamani ili wayaache yaliyopita yapite na wasichafuliane kwenye vyombo vya habari.
Msikiliza hapo chini.

Dr. Dre ampokea Scott Storch baada ya kuachana na unga

Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini Marekani, Scott Spencer Storch ameungana tena na Dr Dre baada ya kutangaza kuacha kutumia madawa ya kulevya.
alikiba1
Kabla ya kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, Storch aliwahi kutengeneza hits za mastaa kibao akiwemo 2Pac, 50 Cent, Beyonce, Lil Wayne, The Game, Dr. Dre na wengine wengi.
Kupitia akaunti yake ya instagram, Storch aliandika, “One of the best days reunited with @drdre ❗️❗️. My brother my family and new chapters with more hits to come 🙏🏼💯. #weworking HISTORY ON REPEAT IN A POSITIVE WAY . #Soberlife

Aidha Storch aliwahi kutajwa kama ni mmoja ya watayarishaji wa muziki matajiri duniani akiwa na utajiri wa $70 milioni lakini mpaka sasa anakadiriwa kuwa na utajiri usiozidi dola milioni 3.6

Izzo Bizness aanzisha kundi ‘The Amazing’ na mrembo huyu

Kuna kundi jipya mjini – The Amazing. Kundi hili linaundwa na rapper Izzo Bizness na muimbaji aliyekuwa na makazi yake nchini Marekani mwenye asili ya Tanzania, Abela.
aa5b76cd-86f7-426c-b923-249e2a0bf723
Izzo amesema kabla hata ya kuja na wazo la kuanzisha kundi hilo, alikuwa akichat na Abela aliyekuwa Marekani na kumweleza kuwa baba yake ni shabiki mkubwa wa nyimbo zake pamoja na maisha anayoishi rapper huyo wa Mbeya.
“Abela baba yake unajua ni Mtanzania mama yake ndio Msweden nafikiri kwahiyo yeye ni Mtanzania na kwao ni Bukoba lakini hapa Dar es Salaam pia ana ndugu zake,” anasema Izzo.
0b60917d-2ed7-4bd8-afd2-7b7ea7341d29
“Alikuwa na plan za kuja kukaa Dar muda mrefu na kwakuwa ni Mtanzania so hakukuwa na ugumu wowote kwa safari yake kuja hadi huku.” Ameiambia Bongo5 kuwa jina la The Amazing lilikuja baada ya wao kukaa na kujadili na kutaka kupata jina rahisi kwa watu na lililopo mdomo kwa wengi.
“Na hata tukikaa wawili picha ambayo unaona ni amazing kwasababu tunavyoonekana na nini hata na muziki ambao tunafanya,” amesisitiza.
f7490963-ee78-4063-b804-ef4a9263476c
Izzo anasema watu wategemee vitu tofauti kutoka kwao kwasababu kundi linaundwa na jinsia mbili tofauti na ladha zao nyingi zitakuwa ni hip hop, kitu ambacho anaamini hakipo Bongo.
“Sisi tumeamua kuja na taste ya hip hop lakini kundi lina mwanamke na mwanaume.”
The Amazing wataachia video ya wimbo wao wa kwanza uitwao Dangerous Boy Jumatano ijayo. Wimbo umetayarishwa na producer Dupy wa Uprise Music huku video ikiongozwa na kampuni ya Focus Films chini ya muongozaji Nick Dizzo.

Young Dee akirekebisha makosa aliyofanya Mtu Chee ruksa kurudi kundini – Stamina



Kwa mujibu wa Stamina kuondoka kwa Young Dee kwenye kundi la Mtu Chee kulitokana na kupishana kauli kati yake na Country Boy, na kwamba kama atarekebisha makosa aliyowafanyia wako radhi kumrejesha kundini.
13531968_1101664066571243_1094846367_n
Hivi karibuni Young Dee alithibitisha tetesi za kutumia madawa ya kulevya na kutangaza kuwa ameacha. Wiki hii ameachia ngoma yake mpya ‘Hands Up.’
“Kulikuwa na misunderstanding baina yake yeye na Country Boy,” Stamina alimweleza mtangazaji wa Jembe FM, JJ.
“Anytime kama ataona yeye ndio alikosea kama alivyorekebisha mistakes zake katika management yake, kama ataweza kurekebisha mistakes zake pia kwenye kundi anakaribishwa anytime hakuna mtu mwenye bifu naye ni mambo tu ya kikazi na kipindi cha kati alipokuwa amechanganyikiwa na madude yake hayo kwahiyo ndio maana ilikuwa ni ngumu kuweka kukaa chini na kusolve chochote,” aliongeza.
“Lakini sasa hivi kama yupo competent kabisa anaona anaweza kusolve chochote anakaribishwa muda wote.”
Miezi kadhaa iliyopita Mtu Chee waliachia ngoma bila Young Dee na kumshirikisha Young Killer.

DI JA awa gumzo nchini NIGERIA

Di’ja amekuwa gumzo nchini Nigeria baada ya kutangaza si tu kuwa alifunga ndoa, bali pia amepata mtoto wa kiume. Hakuna aliyekuwa anajua mambo hayo.
12568283_219055695112627_1152754158_n
Aliamua kutangaza habari hiyo njema kwa kuweka video ya animation kuelezea hatua zote kuanzia alipochumbiwa, kufunga ndoa na kisha kupata mtoto.
“So Thankful to the Almighty for an amazing journey. Thank you to my family and amazing friends for your ongoing support. Thank you to my Mavin family who are forever providing me with guidance and last but not least my amazing fans for their undying love, well wishes and badASS encouragement. I could not be DI’JA without you,” ameandika kwenye Instagram.
Mume wake anaitwa Rotimi.

Download | Diamond Platnumz Feat. P-Square - Nakupenda [Audio]

Jumatatu, 4 Aprili 2016

New AUDIO | YAMOTO BAND - NIGANDE | Download

New AUDIO | Alice Kella - NIMEKUCHAGUA | Download

New AUDIO | AKA & DIAMOND PLATNUMZ - MAKE ME SING (DJ Nestar Remix) | Download

New AUDIO | Rama Dee - Kipenda Roho | Download

New AUDIO | Robby MASTER - Dhamira | Download

New AUDIO | Ibrahnation - Nilipize | Download

New AUDIO | THT - Shusha | Download

New AUDIO | G Senior - Mr Real Love | Download

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | Online Project management